Posts

ISOME HII ITAKUSAIDIA SANA

*TUMIA DAKIKA 3 KUSOMA HII* Lameck alikuwa akiendesha gari kwa kasi sana. Mara akakutana na akina Mama watatu ambao walinyoosha mkono kumuomba lift. Ingawa alikua na haraka lakini aliwaonea huruma na kusimama, sehemu waliyokuwa ilikuwa ni kichakani na kwakuwa alikuwa peke yake hakuona sababu ya kuwanyima lift. “Samahani Baba, tunaomba utusaidie tunaelekea, Usangi kwenye msiba sasa tumechelewa na magari hamna…” Mama mmoja aliomba. Lameck aliwaambia waingie kwani hata yeye alikuwa anaelekea huko huko. Wale akina mama waliingia kwenye gari aliwasalimia na bila hata kuulizwa walianza kujielezea. “Tunaenda kwenye msiba, kuna Mama mmoja kafariki huko...” Mama mmoja alianza kuongea na mwingine aliendelea… "...Ahsante sana mwanangu, ni vijana wachache sana wenye roho nzuri kama wewe, wenzako wametupita kama sisi sio watu, magari mazuri kama haya yenu hata hayasimamagi. Huko tunakoenda kuzika huyo Mama wa watu kaumwa kateseka lakini mtoto wake mwenyewe...

HAKIKISHA UMEISOMA HII.

HAKUNA MTU ASIYEWEZA KUFANIKIWA KIUCHUMI AKIAMUA Siku kadhaa zilizopita nilikutana na hawa kina dada wawili mtaani (mitaa ya Sinza) wakiwa wamepumzika baada ya kazi kubwa ya kutembeza mboga za majani mtaani. Walikuwa wamechoka hakika na walikuwa wamekaa mahali dukani wakiwa wameagiza zao soda baridi kushushia kidogo na labda kulainisha koo kwa sababu ya kazi nzito ya kutembea juani na huku ukiita kwa sauti: "Haya jamani mchicha, mnafu, matembele, mchichaaaaa". Niliwasalimia na kukatisha safari yangu   ili nikae nao pia ili niendelee kujifunza maisha ningali hapa duniani. Ama baada ya salamu na maneno mawili matatu ya "Breaking the Ice" nikaanza kureason nao mambo ya biashara na hasa biashara yao. Mimi: Hebu niambieni nyinyi changamoto yenu hasa ni nini kwenye hii biashara? Mmoja wao: Dah kakangu changamoto ni nyingi mno lakini kubwa ni kwamba watu siku hizi wanaogopa kula mboga za majani si unasikia sijui serikali wanasema mboga zisilimwe sehemu za maji yeny...

KAMA UMERIDHIKA DUNIA HII BORA UFE

"IF YOU DON'T HAVE AMBITION YOU SHOULDN'T BE ALIVE" ("KAMA WEWE NI MTU WA KURIDHIKA KIRAHISI NA ULICHONACHO HUPASWI KUWA HAI") Ijumaa saa nne asubuhi. Mwezi October 2011. Naendesha gari kuelekea Bagamoyo. Njiani naburidika na sauti za waimbaji wa Hillsong na wimbo wao "LET THE PEACE OF GOD REIGN". Aisee. Bonge moja la wimbo. (Utafute kama hujawahi kuusikia utaniambia...) So.. Huku nikiwaza mambo makubwa yaliyoko mbele yangu baada ya kuanza maisha ya ujasiriamali. Na pia hapo nikiwa ninawaza mambo niliyojifunza katika ujasiriamali so far. Nawaza  hatua niliyoanza kupiga. Nawaza maisha yangu ya miaka mingi ijayo na wale Mungu atakaonipa. Hapo ni mwaka mmoja toka niache kazi yangu ya kuajiriwa Stanbic Bank Headquarters, Dar es Salaam. Jengo zuri sana pale Kinondoni limezungukwa na ofisi za ubalozi wa Ufaransa, apartments za Holiday Homes, Ubalozi wa Urusi na makazi ya balozi wa Uingereza. Aisee mahali pazuri hakika. Kazi nzuri ambayo niliipend...

FORM SIX NATIOANAL EXAMINATION RESULTS (ACSEE RESULTS 2018) |

Image
Matokeo Kidato Cha Sita 2018 FORM SIX NATIOANAL EXAMINATION RESULTS (ACSEE RESULTS 2018) | Matokeo Kidato Cha Sita 2018 CLICK HERE TO SEE FORM SIX RESULTS 2018(ACSEE) LINK 2: CLICK HERE CLICK HERE Link 2: CLICK HERE TO SEE THE TEACHERS COLLEGES RESULTS (MATOKEO UALIMU 2018)

Nafasi za Kazi Chief Executive Officer & Chief Technology Officer – Exim BanK Mwisho wa Kutuma Maombi ni Tarehe 4 July 2018

Image
Exim Bank’s core purpose is to be the bank of choice through its pioneering and constantly innovating banking solutions to facilitate our customers and transform their lives and businesses. At Exim Bank, success is defined by how we make a difference to our clients and our communities, driven by our mantra of Exim at work today, for tomorrow! The Bank is currently looking for visionary leaders to spearhead and carry this mission forward and join us in this transformation journey! CHIEF EXECUTIVE OFFICER Reporting to the Board of Directors with the primary objective of establishing the bank as a financial powerhouse in and across the region. The ideal candidate for this position will be a seasoned banker who has transparent and outstanding work ethics and integrity; highly innovative and with exceptional track record in managing a reputable commercial bank. CHIEF TECHNOLOGY OFFICER The Chief Technology Officer (CTO) is expected to create a technology led digital banking ...

Nafasi ya Kazi IT Professional / Country Security Focal Point (CSFP) – GIZ, Mwisho wa Kutuma Maombi ni Tarehe 8 July 2018

Image
IT Professional / Country Security Focal Point (CSFP) As an international cooperation enterprise for sustainable development with worldwide operations, the federally owned Deutsche Gesellschaft Kir Internationale Zusammenarbeil (GIZ) GmbH supports the German Government in achieving its development-policy objectives. GIZ is looking to fill the position of IT Professional! Country Security Focal Point (CSFP) at GM Office Dar es Salaam. Duty station: Dar es Salaam Terms of the Contract: Fixed term contract Responsibilities The IT Professional / CSFP is responsible for • the Security and Risk Management System of GIZ Tanzania • as lead focal point he/she coordinates all processes related to security management and • develops and maintains GIZ’s Minimum Security Standards • ensures that IT systems operate and function correctly and comply with GIZ IT standards • provides technical support to users of IT hard- and software Tasks 1. Security and Risk Management System T...

Nafasi ya Kazi Livestock Marketing and Grazing Manager – The Nature Conservancy, Mwisho wa Kutuma Maombi ni Tarehe 18 July 2018

Image
Job Title: Livestock Marketing and Grazing Manager Job ID: 46637 Location: Tanzania Regular/Temporary: Regular OFFICE LOCATION: Arusha, Tanzania ESSENTIAL FUNCTIONS The Livestock Marketing and Grazing Manager designs, leads and oversees a pilot project that focuses on livestock marketing as a business and rangeland management within the TNC’s Northern Tanzania program. This new project in priority rangeland habitat aims to deliver economic incentives to pastoralists in two pilot villages who implement improved grazing management practices. He/she leads business planning, technical and program support. He/she serves as the principal contact to government agencies, other conservation organizations, foundations and the academic community in as far as livestock marketing and rangeland management is concerned. He/she establishes TNC as a major partner within the area of livestock marketing and rangeland management; defines priorities in the area of responsibility, and leads and ma...